Imperial College of Health And Allied Sciences

- (ICHAS) -

News & Events

11
Sep 2024

WAKUFUNZI WA ICHAS WAPEWA MAFUNZO

Wakufunzi kutoka Chuo cha Imperial College of Health and Allied Sciences (ICHAS) wapatiwa mafunzo na elimu ya Kuzingatia Umahiri katika Ufundishaji (CBET), ambapo mafunzo hayo wameanza kupatiwa jana tarehe 9 Septemba, 2024 katika ukumbi wa Chuo hicho kilichopo Kisauni nje Kidogo ya Mji wa Zanzibar Mafunzo hayo yamefunguliwa na Mkurugenzi Idara ya Mafunzo ya Amali Zanzibar, Bakari Ali Silima huku akiwataka wakufunzi kujifunza kwa umakini ili wakalete mabadiliko katika sekta ya elimu ya juu. Mafunzo hayo ya kujengewa uelewa wa pamoja yanahusisha pia Chuo cha The Institute Continuing and Professional Studies (ICPS) na Microtech Institute of Business and Technology (MIBT) na yanatarajia kumalizika siku ya Ijumaa tarehe 6 Septemba, 2024

Dirisha l ........

Soma Zaidi
22
Sep 2025

Usajili wa kozi za afya wafunguliwa kwa mkupuo wa September 2025/

Wanafunzi wote munakaribishwa kujiunga

Dirisha l ........

Soma Zaidi